Kulingana na jinsi watu walivyopokea wimbo mpya wa darasa 'muziki' katika maeneo mbali mbali nchini, wimbo wa Diamond wa 'Salome' umekufa kifo cha mende..yani hausikiki tena...
Yani kila mahali ni wimbo wa darasa tuuu, ila wa Diamond hausikiki tena...
Hakika darasa 'hupendagi ujinga', naona umeamua kumsomesha namba anayejiita Simba, na hii yote ni sababu ya kuanza kuimba 'matusi tu'...sifa za kijinga..ndio zinamponza..
Nakupa pongezi sana kaka kwa kuimba nyimbo nzuri..endelea kufunika..
Ukweli mchunguu...!
Kwa habarI za kimbea na UDAKU official kiganjani mwako Pakua application yetu kwa kubofya hapa
Next
Newer Post
Previous
This is the last post.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment